Picha ya Leoooo!

Kwani we ni wa chatu enter village airport?
Hapana nilienda kuona chator international airport ndo nikapita madukani hili nimununulie baby wangu zote nikakuta oversize
 
hqhaahahhahahaha jaman hapa imebidi niangue cheko hahahahhaa kuna watu ahwana damu ya nguo jaman jamn hahahahha VIVA LOWASAAAAAAAAA! huyo mwingne angalia mikonon ilivyomkaa ahahahhah! na 1 fan
Hahahaha huyo mshamba sana alikuja mjini na mbio za mwenge
 
Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei

Wewe jamaa wewe utapewa kesi ta uchochezi wewe

Can't imagine wakati wa maakuli mana kila saa unanyanyua mkono juu ili ishuke chini
ukipiga matonge matano mfululizo hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…