Picha ya jengo la ofisi ya CCM mkoa wa Tabora,Chadema makao !

..unaweza kukuta shule za Tabora hazina madarasa ya kutosha, madawati, chalk boards, etc etc lakini CCM wanaona ofisi ya fahari ndiyo kipaumbele.
Nmekaa Tabora mjini miaka 4 shule zao nyingi ni shule kongwe kama Tabora Boys, Girls, Mirambo, Kazima na zingine ambazo zipo kwenye hali nzuri.
Suala la madawati na chaki sijaona kama in changamoto kwa mkoa was Tabora. Labda kama kwa hivi karibuni baada ya elimu bure. Kipindi kile nilikua natembelea shule mbalimbali sijawahi kusikia shida ya madawati ingawa kuna kipindi ilitokea uhaba was mabweni T-Girls na vitanda T-Boys ambapo ilikua na sababu maalum.
 
Wakamalizie lile gofu lao lipo tanga pale lamore karibu na shule ya msingi masiwani...

Ujenzi wa lile gofu lilizinduliwa na mzee Ruksa mwaka 1992 na halijaisha mpaka leo...tulitembea kwa miguu kutokea pale mpaka Popatlal marking silver jubilee ya Popatlal mwaka huo wa 1992...

Ofisi zote za ccm zilijengwa kwa kodi na nguvukazi ya Watanzania, ccm hawana uwezo wa kujenga hata banda kwa nguvu zao wenyewe.
 
Sawa
IMG_20191006_101601.jpeg
 
Back
Top Bottom