The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,616
Nakumbuka uliwekaga avatar Picha flan umevaaa jinsi iliyochanika mapajan yaani wide hips maamaeeHahaha hyo polka dot pant wangenipa niivae mm tupige picha..tuone nani itavutiaπππ
Hahaha hyo polka dot pant wangenipa niivae mm tupige picha..tuone nani itavutia
Wewe level nyingine kabisa
Mkuu ni wewe unajua nilitaka kuleta uzi umepotea wapi kumbe umebadilisha avatar Picha tuliyokuzoea ya kagame kavaa suti nyeus passport sizeWewe level nyingine kabisa
Hivyo vimbau mbau ndo vizuri Mkuu!
Na ndo wanaoolewa hao..... Tembo hawafugwi wanaangaliwa tu huko huko mbugani
Ndio maana dada zetu kila uchwao wanahangaika na diet
Mkuu ni wewe unajua nilitaka kuleta uzi umepotea wapi kumbe umebadilisha avatar Picha tuliyokuzoea ya kagame kavaa suti nyeus passport size
ππππππ mna shida sana nyie watu unakuta mtu anashindia kipande cha tikiti maji+vimboga mboga wenyewe mnaita salad sijuiπππππSio wote..nyie ndo mnatutisha na zile BMI sijui....binafsi hubby akiona kamba anaitupiaga darini...!mnatutisha sana kuwa magonjwa yatatupeleka ahera..ndo maana unatukuta tumejazana gym..lols
Nakuunga mkono, vimbaumbau vitamu balaa, ukipiga unataka tena hapo hapo.Hivyo vimbau mbau ndo vizuri Mkuu!
Na ndo wanaoolewa hao..... Tembo hawafugwi wanaangaliwa tu huko huko mbugani
Ndio maana dada zetu kila uchwao wanahangaika na diet
ππππππ mna shida sana nyie watu unakuta mtu anashindia kipande cha tikiti maji+vimboga mboga wenyewe mnaita salad sijuiπππππ
Mkuu, hivi umewahi kuchapa madem wembamba wale wanaojua kukubana na kukunatia mwilini kama luba au pweza? Acha kabisa, acha wembamba wawe expensive bwana.Mzuqa!
Tuendelee tu kumshukuru Mungu na kujivunia kuzaliwa mwafrika. Ni jambo jema na la kujivunia. Laiti tungezaliwa kama wao ama kukulia toka utotoni kwenye Jamii yao tungebaki kuwa mazoba yaliyokubuhu na mentality mbofumbofu.
View attachment 1115684
Eti huyu hapa chini kwenye picha wenyewe wanavyodai ni mrembo balaa na ana mvuto wa aina yake. BORA TU TUBAKI NA LOW IQ.
View attachment 1115686
A naitwa Kendal jarner eti wenyewe wanavyodai ni kati ya mwanamke mrembo na mwenye mvuto wa aina yake duniani sasa hivi na wako serious hawatanii hawa watu wanaopeleka hadi roketi Mars.
Sasa cha kusikitisha na kuhuzunisha kwa hawa watu demu mkaree kama huyu eti kwao hana mvuto hata wakipishana hawageuzi shingo.
View attachment 1115687
Narudia tena bora Tuendelee tu kuwa na low IQ kuliko hii mentality zao za kisoro
Wanawake wetu wa Afrika wana maumbo makubwa sana, ukivaa hiyo sijui nini kitatokeaHahaha hyo polka dot pant wangenipa niivae mm tupige picha..tuone nani itavutia