Shetani amen'deceive' na sasa anamkimbia taratibu!Kakataliwa duniani na Mbinguni. Hafai hata shetani atamkataa
Mbona unateseka?Dogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859
Mkuu unadhani hawa hawakushinda?,no bao la mkono walipigwa hawa.Na huyu ni Lowasa 2015.
Kiufupi huyu Lisu wako ni tone tu kwenye bahariView attachment 1571861View attachment 1571862View attachment 1571863View attachment 1571864
Wanaccm wote tunaojitambua tutampigia kura Mh Tundu Lissu.Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Huyu ni KP?dahπ
Ukweli tunangoja tuone siku akienda Songwe Tunduma na Mbeya. Hapo tutajua kazomewa kweli au uongo!Nasikia kuna mgombea ameambiwa
HATUKUTAKIIIIIIIII
Sijui ni kweli au stori tu