apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Zamani usanii ulikuwa burudani na sio biashara.Siku hizi usanii ni deal kama deal zingine.Kama CCM imekamata akina Diamond, kwa nini hawa nao wasikamate CHADEMA isiyokuwa na mvuto mkubwa wa wasanii ili wapate tender?
Mimi naona yote poa tu, group nzima kukubaliana lazima watakuwa na common goal nayo ni kupiga kazi katika kampeni za CDM pamoja na kutoa tungo mbali mbali kama ''chadema x2'' ''peoples power''!''Tanzania x2'' ''peoples power''.
Mimi naona yote poa tu, group nzima kukubaliana lazima watakuwa na common goal nayo ni kupiga kazi katika kampeni za CDM pamoja na kutoa tungo mbali mbali kama ''chadema x2'' ''peoples power''!''Tanzania x2'' ''peoples power''.