Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Mi ni chadema lakini nahitaji kuwa,na roho ngumu sana,kuamini chadema watashinda chalinze...
Watashinda tu.
Mi ni chadema lakini nahitaji kuwa,na roho ngumu sana,kuamini chadema watashinda chalinze...
Lazima ni kufa tu.
Huku Chadema wasije na chopa yao kwani huku tutatumia zile zetu za kienyeji yaani nyungo. Tena huku kuna ufundi unaitwaq tego, na mafundi wake wapo wengi. Tutairoga Chadema kimaukweli! Hawatafurukuta!
Mkuu nditolo, heshima kwako. Hebu angalia vizuri hiyo avatar yako. Mambo iko huku Pwani!Unajisifia kuwa masikini kwa kukosa akili? Lweli wewe ni ------, kazi kucheza ngoma tu
baadhi ya wachalinze ni mbuzi tuuu kazi kucheza ngoma na njenje