Picha: Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA chalinze

Picha: Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA chalinze

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Watu wamejitokeza kwa wingi na bado wanazidi kumiminika hakika chadema inapiga kotekote...
Baada ya chama cha Majangili jana kukosa watu kabisa kwenye uzinduzi wao wa kampeni za chalinze leo chama pendwa chadema kinazindua kampeni zake na mpaka sasa watu wamejitokeza kwa wingi sana hakika ina tia moyo..
IMG-20140316-WA0047.jpg
Picha za awali kabisa...
 
najua Marando atamfanyia kitu kibaya sana Rithwani na hayo maufisadi yake!
 
Daah sikutegemea kama watu watakuwa wengi kiasi hicho. NASISITIZA WATU KUJIANDIKISHA, KUJITOKEZA KUPIGA KURA NA KULINDA KURA. Tukifanikiwa hili basi kazi kwisha ccm hawana chao waende wakaaimbe taarabu na yule mnyama wao komba
 
Mi ni chadema lakini nahitaji kuwa,na roho ngumu sana,kuamini chadema watashinda chalinze...
 
siasa mipango na siyo kujaza mashabiki. wapiga kura wapo njumbani hao wote ni mashabiki tu. kidumu ccm
 
Back
Top Bottom