Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

Songea ipi unayoishi mkuu ya kuitetea CCM hivyo?? Hii yenye huduma mbovu kila mahali?? Barabara na vituo vya abirua katikati ya mji uchafu mtupu vinajaa maji, huduma za afya hovyo, usafiri ndo usiseme, kamji giza hata kuweka taa za solar hakuna lakini kura zote CCM. Ukweli ni kwamba Ruvuma hakuna wa kuisemea bungeni!
 
Tukichagua chadema tutaendelea kama Moshi na Arusha
 
hiki toka pesa kujenga una lalamika.sijui nikuweke haina gani ya mswahili wa manzese
 
Moja kati ya mikoa vichekesho songea huko watu wana roho mbaya sana, Tatizo la wangoni waliamua kukwapua wanawake wa makabila mengine akili ndogo

Kipindi cha uchaguzi akina Mama wa huko wanakata mauno tu kwa ccm
 
da mange kaona?awamu hii serikali sikivu soon wataanza ujenzi apo .tupaze sauti kwa nguvu
 
Nhhhhh mtoa mada ni mtu wa songea lakin kama wew
 
Alafu mnataka bombadier ituwe hapo

Ova
 
Hahahahaaaaaaa endeleeni na utaratibu wenu wa kupokea makapi ya ufisadi yanayotimuliwa CCM, sisi wenye kujitambua kamwe hatuji huko kwa wapiga dili. Chama chenyewe mlishamuuzia Lowassa fisiadi kitambo then bado mnakuja hapa kutushawishi rubbishes!!
Weye unabishia ukweli kwa kila maoni yako? Una kaharufu ka uhuni mwilini mwako.
 
Kesi ya uchochezi ina kuhusu mr. Mambo ya CCM hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…