Mbowe anaijua pesa yule anawachuuza wenzake tuUngeweka na picha ya makao makuu... Mbowe hua anasema hiki anafanya kile sio mtu wa kumuamini kabisa
Chama hakina makao makuu alafu anasema haubiri umaskini ... likitokea tatizo dogo tu anaanza kuomba omba kwa wananchi
Chama kinajiua chenyewe maana watu wanaona wizi wa waziNasema mafisadi hayataisha hii nchi.... Wanachowaza ni kuangamiza chama fulani.......
Ziko wapi mlisema mmeshindwa kufanya uchaguzi mapema kwa sababu hakuna pesa ,rejea barua ya dk mashinji kwa msajiri
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kuwa amejaza wajinga akikoroma wanatuliasiunaona hata hesabu za matumizi hawapewi maana ni mali yake
Sisi tunazo kumbi zetu kubwa Dodoma ,Dar, ArushaWizi ni kufanya mkutano kwenye ukumbi mkubwa?
Nyie mnavyokodi ndege 3 kwenda Pemba ule ni wizi au matumizi mabaya
Mi sina makao makuu zaidi ya Dodoma ambayo ni yetu wote ...Makao makuu to You ni kitu gani? Nyie makao yenu makuu ambayo mlijenga after 1992 ni yapi? Makao makuu yenu mliyapata wakati wa chama kimoja