hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Mi sina makao makuu zaidi ya Dodoma ambayo ni yetu wote ...
Sasa why unauliza ya CHADEMA
Mi sina makao makuu zaidi ya Dodoma ambayo ni yetu wote ...
Kwani huo Ukumbi ni wa Chadema ............!!?
Wanatumia pesa zetu walipakodi kwa mambo ya hovyoSasa why unauliza ya chadema
Wamekodi ,unapesa ya kujenga unakwenda kulala hotel ujinga gani huo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanda cha ufisadi natumai unakijuaNasema mafisadi hayataisha hii nchi.... Wanachowaza ni kuangamiza chama fulani.......
Naona Roho zinawamua mmeshindwa kumuweka pandikizi wenu CHADEMAChadema na baadhi ya wanawake wa Pwani hawana tofauti.Baadhi ya wanawake wa Pwani ukikutana nao nje utashangaa kwvaa dhahabu na nguo za thamani kubwa kapendeza ajabu.Nenda kaangalie kwake anakolala anakotokea utashangaa nyumba Ni ya makuti.Ndio chadema walivyo warembo ajabu wanameremeta mlimani city nenda makao makuu yao utatapika palivyo hovyo
Kampeni ya National Housing ya maisha Ni nyumba chadema naona haeaewi.Ni Mwambe tu ndiye anaelewa ambaye katamka wazi kuwa akishika lazima makao making yenye hadhi yajengwe
Tulikuwa na chimwaga kuna wimbo unaitwa sasa kimekucha jogoo limewika chimwagaaaaaa .r.I.p kombaNyie ule wa kwenu mlijenga after miaka mingapi since ccm imezaliwa?
Kwani Mbowe sio pandikizi?Naona Roho zinawamua mmeshindwa kumuweka pandikizi wenu chadema
Ndomana mnalialia tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema yenyewe kiasili ni pandikizi, Lowasa, Sumaye, WaitaraNaona Roho zinawamua mmeshindwa kumuweka pandikizi wenu chadema
Ndomana mnalialia tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikuwa na chimwaga kuna wimbo unaitwa sasa kimekucha jogoo limewika chimwagaaaaaa .r.I.p komba
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijiji vilivyokosa maji Kenya ndio unavileta hapa ,hii ni Tanzanian sio Turkana
Hivi unajua ruzuku za vyama zilianza kutolewa lini?Mlipata kutoka kwenye tanu, na ukumbuke tanu ilikuwa bfr vyama vingi that's means ule ukumbi kila mtu anahusika