USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,884
- 22,597
Mbowe na CHADEMA ni maskini wa fikra na umaskini wa fikra ni mbaya sana kuliko wa kipato
Bora umaskini wa kipato kuliko umaskini wa fikra .
Ukiangalia ukumbi uliokodishwa na CHADEMA kufanyia mkutano na ofisi wanazo tumia viongozi hao utajua bora maskini wa kipato kuliko wa fikra. Unatumia mamilioni kukodisha ukumbi ilihali watendaji wako wananyeshewa mvua kwenye mapagale huko mikoani unajuliza nani maskini hapa Tanzania
Unatumia mamilioni kuvaa wakati unalala chini ,nyumba imejaa nyufa saa yoyote kuta zinaanguka. Mngetumia pesa hizi kuboresha ofisi hizo badala ya kula bata
Mmewazui wenzenu wasigombee lakini nyie mtagombe ,wenzenu hizo miambilimiambili ziliwaweka mjini
BORA UMASKINI WA KIPATO KULIKO WA FIKRA
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umaskini wa kipato kuliko umaskini wa fikra .
Ukiangalia ukumbi uliokodishwa na CHADEMA kufanyia mkutano na ofisi wanazo tumia viongozi hao utajua bora maskini wa kipato kuliko wa fikra. Unatumia mamilioni kukodisha ukumbi ilihali watendaji wako wananyeshewa mvua kwenye mapagale huko mikoani unajuliza nani maskini hapa Tanzania
Unatumia mamilioni kuvaa wakati unalala chini ,nyumba imejaa nyufa saa yoyote kuta zinaanguka. Mngetumia pesa hizi kuboresha ofisi hizo badala ya kula bata
Mmewazui wenzenu wasigombee lakini nyie mtagombe ,wenzenu hizo miambilimiambili ziliwaweka mjini
BORA UMASKINI WA KIPATO KULIKO WA FIKRA
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app