Tetty JF-Expert Member Jan 6, 2012 26,356 21,390 Jul 20, 2015 #161 Ritz said: Toka lini Dialo na Lowassa wakawa marafiki Dialo mtu wake Membe. Click to expand... Sasa kwa nini alikuwa na wasiwasi wa kunyimwa leseni???
Ritz said: Toka lini Dialo na Lowassa wakawa marafiki Dialo mtu wake Membe. Click to expand... Sasa kwa nini alikuwa na wasiwasi wa kunyimwa leseni???
trigeminal JF-Expert Member Jan 9, 2015 1,920 2,198 Jul 20, 2015 #162 Nakumbuka 2005 JK alijaza watu mara nne ya hawa.. ila alichotufanyia Mungu tu anajua.. mtoa mada tumia kichwa kufikiria na sio kufugia nywele tu
Nakumbuka 2005 JK alijaza watu mara nne ya hawa.. ila alichotufanyia Mungu tu anajua.. mtoa mada tumia kichwa kufikiria na sio kufugia nywele tu
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,255 12,872 Jul 20, 2015 #163 afrodenzi said: uwiiii asante sana mwaya. itabidi nitafute muda mzuri nije kwa wiki au mbili. Click to expand... Karibu sana maah!
afrodenzi said: uwiiii asante sana mwaya. itabidi nitafute muda mzuri nije kwa wiki au mbili. Click to expand... Karibu sana maah!
mgt software JF-Expert Member Nov 1, 2010 13,767 7,115 Jul 20, 2015 #164 haka ni kaumati kanazidiwa hata ka Msigwa Iringa, hakika huyu Padlock hakubaliki hata kwao.
sniper- Member Mar 19, 2014 22 3 Jul 21, 2015 #165 Wengi wenu posti zenu zimejaa kutumwatumwa tu na kuzipigia promo za kijinga tu
P Peter Majaliwa Senior Member Jun 16, 2017 161 30 Dec 31, 2018 #166 Kwa walioko mwanza wanielekeze sehemu ambapo naweza patackazi yoyote ile isiyozingatia elimu
Los técnicos JF-Expert Member Sep 14, 2014 3,010 2,604 Dec 31, 2018 #167 Unajua hulka ya watanzania ni kuona. Hata ukiwatangazia shetani atapita leo saa 7 mchana watanzania watamngoja wamuone Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hulka ya watanzania ni kuona. Hata ukiwatangazia shetani atapita leo saa 7 mchana watanzania watamngoja wamuone Sent using Jamii Forums mobile app