Picha: Timu ya wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa CCM, NEC - 2007-2012

Picha: Timu ya wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa CCM, NEC - 2007-2012

wewe njaa(CDM) hujapata sehemu ya kula bora unyamaze kwani ukiipata CCM watakua na nafuu
Pole sana mkuu wala sikulaumu ni malezi ulopitia ndo yamekuathiri ki fikra. Iko siku macho yako yatafunguka. Halafu...... hivi kwanini kila anayeikosoa au kuilaumu "chicheme" anaambiwa we mwanaCDM? Hawezi kuwa mwanaCUF au UDP? Tehetehetehe.... mnalo wakuu. Na hii miaka mtajibeba!!!!
 
wakumtumikia mwananchi upinzani hakuna hamja pata sehem ya kula nyinyi mkiipata wananchi watakoma kwani mapema kabisa mnaonekana nyinyi njaa kali

Yaani kila post yako ujumbe mkuu ni kula,kula,kula tu! ccm typical
 
Hawa ndio wanaoandaa timu mpya ya kuja kutugawia umasikini( maisha bora)? Waondoke tu na maisha bora yao.

Tanzania bila uongozi wa hawa watu inawezekana.
 
Back
Top Bottom