Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,343
- 13,135
Mwenyezi Mungu katupa utajiri mkubwa sana kuna nchi zingine waliamua kupelekewa wanyama kama new Zealand hawakuwa hata na panzi jambo la kushkuru lakini watu hawana shukran
Hawa wanyama kitambo hawakuwepo huku Watu wa mabara mengine waliwaleta huku Africa bara la Giza kwani kwao ilikuwa ni ghasia na huwa wanakuja kuwatembelea mara kwa mara... Ni Tabu tu hawa wao walibakia na Wanyama wapole tu na wakali baadhi... Chezea watu wa kale wewe