PreGE2025 PICHA: Rais Samia aboresha taarifa zake kwenye daftari la Mpiga Kura

PreGE2025 PICHA: Rais Samia aboresha taarifa zake kwenye daftari la Mpiga Kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo May 17, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino Mkoani Dodoma ambapo pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Pia, Soma: Rais Samia ndani ya SGR Dar-Dodoma, kuboresha taarifa zake za Mpiga Kura

1747489329214.png

1747489371440.png
 
Wakuu,

Hivi kuna watu humu bado hamjajinadikisha kwenye daftari la kudumu la mpigakura? Au ndo mnashikilia msimamo wa "No Reforms No Election"?

Siku ya leo Rais Samia ameboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha kujiandikisha kilichopo Ofisi ya serikali ya kijiji cha Chamwino mkoani Dodoma.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amewahamasisha wananchi kujit...jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amewahamasisha wananchi kujit...jpg
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amewahamasisha wananchi kujit...jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Ametumia siku ya leo katika kuboresha taarifa zake katika daftari la mpiga kura na hatimae kupatiwa Kadi ya mpiga kura. Ambapo ametumia nafasi na fursa hiyo kuwataka watanzania kutumia fursa hiyo kuboresha taarifa zao ili kupata nafasi ya kuchagu viongozi wanaowataka na watakao weza kuwaletea maendeleo na kuwahudumia vizuri.

Ambapo Rais wetu Mpendwa amewataka watanzania wajiandikishe kwa wingi na kuweza kuirejesha madarakani serikali inayowaletea maendeleo.

Kwa upendo na unyenyekevu mkubwa sana kama ilivyo kawaida kwa Rais wetu Mpendwa amewasihi sana watanzania kutopoteza haki yao ya kuchagua viongozi watakao weza kuwaongoza. Ambapo wananchi mbalimbali ambao walifurika eneo hilo wameonyesha kumuunga mkono Rais wetu kipenzi na kuwa tayari kujiandikisha na kushiriki uchaguzi kikamilifu kabisa.
Screenshot_20250517-183152_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo May 17, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino Mkoani Dodoma ambapo pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Pia, Soma: Rais Samia ndani ya SGR Dar-Dodoma, kuboresha taarifa zake za Mpiga Kura

Endeleeni kumlisha tende!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo May 17, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino Mkoani Dodoma ambapo pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Pia, Soma: Rais Samia ndani ya SGR Dar-Dodoma, kuboresha taarifa zake za Mpiga Kura

Mama taarifa hazijamfikia kuwa No Reforms No Election
 
Wakuu,

Hivi kuna watu humu bado hamjajinadikisha kwenye daftari la kudumu la mpigakura? Au ndo mnashikilia msimamo wa "No Reforms No Election"?

Siku ya leo Rais Samia ameboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha kujiandikisha kilichopo Ofisi ya serikali ya kijiji cha Chamwino mkoani Dodoma.


View attachment 3337205View attachment 3337206View attachment 3337207
Huyu mama hatoboi mwaka huu ! she is no longer active president ! Look at her body language, tired and exhausted!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo May 17, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino Mkoani Dodoma ambapo pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Pia, Soma: Rais Samia ndani ya SGR Dar-Dodoma, kuboresha taarifa zake za Mpiga Kura

well done Dr.Samia Suluhu Hassan :KasugaYeah:
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo May 17, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino Mkoani Dodoma ambapo pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Pia, Soma: Rais Samia ndani ya SGR Dar-Dodoma, kuboresha taarifa zake za Mpiga Kura

Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom