Nani Membe au?Yule mwingine alikua anajitahidi kuwa karibu na Rais, akakatwa kwa pen ya jero
duuhView attachment 321346
Jamaa alikuwa mtiifu,Leo naye boss
Bora abebee koti kuliko kumfunga namba za viatu.View attachment 321346
Jamaa alikuwa mtiifu,Leo naye boss
Afu hilo sio koti na clinton...acha uongo
HahaahahahaahhYule mwingine alikua anajitahidi kuwa karibu na Rais, akakatwa kwa pen ya jero
buku saba at workKwasababu amefanya mmarekani watu wanamuita mtiifu lakn angefanya mtz kama alivyofanya makonda kwa mtoto wa mkulu mstaafu watu wangeanza kurusha vipondo. Kweli watanzania hatujitambui