Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Ndege ya waziri Mkuu ikiwa imesimama muda si mrefu
Viongozi mbali mbali wakiwa wamejiandaa vema kumpokea Waziri Mkuu Muda huu
Muheshimiwa Mbunge wa viti maalum CCM akiwa na Mheshimiwa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi muda huu
Waziri mkuu Muheshimiwa Pinda akisalimia na viongozi mbali mbali muda huu