Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Mazishi yamemuibia Kilaini askofu mwanasiasa na kuwadi wa CCM! Shame on you Kilaini kwa kujirahisi kutumiwa kisiasa. Methinks unamiss sana Dar.
I thought you are a Father of all as you call yourself,but how can you post such of a coment,have you met any of these Religeous leaders and talk to them one on one and hear their views about politics..??
Mh,hivi bado anaamini Vasco alikuwa Chaguo la Sir God?
Naamini matamshi ya 2005 atayajutia mpaka siku ya mwisho!
Mh,hivi bado anaamini Vasco alikuwa Chaguo la Sir God?
Mh,hivi bado anaamini Vasco alikuwa Chaguo la Sir God?
tofauti ni kwamba hawatumii ungo lakini ni aina ingine ya uchawi tu.wajinga wanapata tabu sana kwenye hii dunia.hawa nao kukosa kazi tu huko, si wakahubiri huko watu waokoke?? Au kumewashinda sasa wanabaki kuzunguka tu na mifupa.