Picha; Operesheni Delete CCM, mkoani Rukwa

Picha; Operesheni Delete CCM, mkoani Rukwa

bei ya kiroba muulize mbunge wako mariam msangi aliyekuwa anakunywa nje ya bunge pale makole bar kabla ya mjadala wa escrow haujaanza cc[MENTION]msalani faizafoxy simiyuyetu[/MENTION]

Mkuu naomba unisaidie bei nimtume mtoto nitoe stress.
 
Kuna tofauti kubwa sana katika hizi picha mbili;

picha ya kwanza


attachment.php


picha ya pili

attachment.php

 
Sijui kama wanajua kinachoendelea hapo mkuu.

Maeneo haya yana viwanja vingi vya mpira na michezo mingine ya watoto, kama wasingekuwa wanaelewa basi wangekuwa kwenye michezo yao ya siku zote. NAAMINI WEWE NDO UJUI KINACHOENDELEA!
 
Maeneo haya yana viwanja vingi vya mpira na michezo mingine ya watoto, kama wasingekuwa wanaelewa basi wangekuwa kwenye michezo yao ya siku zote. NAAMINI WEWE NDO UJUI KINACHOENDELEA!

Umejuaje mkuu? Kweli sijui kilichokuwa kinaongelewa pale.
 
Kwani hao watoto hawana haki ya kuhudhuria na kusikiliza mikutano ya CDM?

Tena wana haki ya kucheza na wakubwa ili kujifunza kutoka kwao vipaji mbalimbali walivyo navyo wakubwa.
ImageUploadedByJamiiForums1417546301.717079.jpg
 
Back
Top Bottom