watanzania waliojibu swali la kipima joto la ITV lililohoji "Je kususia bunge la katiba ni njia bora ya kutupatia katiba bora?" wamejibu hivi 74% wanesema NDIO 21% wasema HAPANA na 5% wamesema hawajui...my take watanzania inaonekana wanaiunga mkono sana UKAWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.