JevPolline Member Joined Oct 29, 2013 Posts 44 Reaction score 15 Nov 18, 2013 #1 Hii balaa jaman!watu wameumbwaaaa
Nilufer JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 9,762 Reaction score 14,005 Nov 18, 2013 #2 iko wapi hiyo picha au haka ka pc kameanza kunidanganya.
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Nov 18, 2013 #3 .ni Kweli mungu ameumba....
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Nov 18, 2013 #4 Watu gani hao wasoonekana?!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,083 Reaction score 831,720 Nov 19, 2013 #5 Ama kweli bonge la picha ila mpaka Uwe na binoculars
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Nov 19, 2013 #6 Nyie wote msioziona picha , hamna Imani . Na imani bila matendo ...... Imani mfu ! Jehoova toa pichaa! Haaleluyaa! Yehova wasamehe ambao hawaoni hizi picha! Baada maombi haya nna imani mtaziona .
Nyie wote msioziona picha , hamna Imani . Na imani bila matendo ...... Imani mfu ! Jehoova toa pichaa! Haaleluyaa! Yehova wasamehe ambao hawaoni hizi picha! Baada maombi haya nna imani mtaziona .
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Nov 19, 2013 #7 mshana jr said: Ama kweli bonge la picha ila mpaka Uwe na binoculars Click to expand... Una akili sana wewe!!
mshana jr said: Ama kweli bonge la picha ila mpaka Uwe na binoculars Click to expand... Una akili sana wewe!!
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Nov 19, 2013 #8 Wenye macho ya rohoni tumeshaiona
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Nov 19, 2013 #9 Lady doctor said: Wenye macho ya rohoni tumeshaiona Click to expand... mwaaaah!!!