Picha: Namibia wanavyofaidi Tanzanite yetu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,276
Reaction score
23,569
Wakati tukishindwa kufaidi vya kwetu Wanamibia wameifaidi tanzanite vilivyo hadi wamebatiza mitaa yao “Tanzanite “. Si mnajua tena mpunga hulimwa shambani lakini huliwa mezani.

Wanaofaidika na hayo “mawe” wanaishi hapa.

 
Huo ni mtaa ni mzuri kuliko mitaa yote Ileje (Bongo).
 
Kama hivyo basi na south Africa wanaifaidi sana na nyerere wetu Nyerere Road
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…