Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Mkuu, kuwa na nidhamu kidogo Msiba unanogaje?
Umesahau wanalala wote .....mpk azoee kulala mwenyew itakuchukua mdaInauma kufiwa na Mke aisee,,mtu uliemzoea, mnacheka, mnataniana sana,, kumpata mwingine hadi mzoeani huwa inachukua muda sana,,, R.I.P
jamani, tuwe na huruma, usifikirie kwamba litatokea tu kwa mwingine hata wewe linaweza kukupata ndugu yangu!
Kwani msiba hautakiwi kupendeza?Mkuu, kuwa na nidhamu kidogo Msiba unanogaje?
Ni ngumu sana mkuu. Kuna kaka yangu alifiwa na mke alipokuwa anajifungua miaka ya tisini,mpaka leo hii hakuwahi kuoa na huyo mtoto wake wa mwisho ni binti mkubwa sasa alimaliza UDSM na kuolewa. Amekuwa na upweke wa ajabu baada ya watoto wote kuondoka nyumbani. Maisha ni mtihani....tushukuru kwa kila Jambo .Inauma kufiwa na Mke aisee,,mtu uliemzoea, mnacheka, mnataniana sana,, kumpata mwingine hadi mzoeani huwa inachukua muda sana,,, R.I.P
pole waziri wetu pole