leo nilikuwa mwanza, nikakutana na mkutano wa ukawa..... Kwa waliokuwepo waliniambia utahutubiwa na maalim seif, ni mkutano wa ukawa japokuwa niliona bendera za vyama viwili tu cuf na chadema. Nccr wanijiweka nyuma au ni wazembe wenyewe ( nilijiuliza. Cha kusisimua zaidi ni idadi ya watu. Tazama picha.
hakuna chopa hapo hadi helkopta iwepo ndo wanajaa
eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee jamanii chadema mwanza kwa wenje na kiwia ndo inakufaa haraka hivyoo mhh
Leo nilikuwa Mwanza, nikakutana na mkutano wa Ukawa..... Kwa waliokuwepo waliniambia utahutubiwa na Maalim Seif, ni mkutano wa Ukawa Japokuwa niliona bendera za vyama viwili tu Cuf na Chadema. Nccr wanijiweka nyuma au ni wazembe wenyewe ( nilijiuliza. Cha kusisimua Zaidi ni idadi ya watu. Tazama Picha.
Msijifariji,mwanza ni chadema damdam,hizo picha huyo kichaa kazipiga saa saba mchana,angeenda jioni kujionea!
Mkuu weka hizo za jioni basi!