Najaribu kupata picha huko lumumba kuna hali gani,Kila nikimfikiria mzee wa Ndovu naona kama muda sio ataenda kutibiwa south.....presha juu......hongera CDM mnazidi kudhihirisha ubora wenu,mnazidi kutuaminisha hatuhitaji chama mbadala wa CDM kama mpika majungu mmoja alivyosema.