JF wangekuwa wanatoa tuzo kwa habari zilizotamba mwaka2013/14 bs tuzo hyo ilikuwa halali kabisa kwenda kwa CDM.
Hongera katibu mkuu wa chama kubwa,my hero,the person who made me love chadema,pamoja na kamanda wa anga,mti mkavu,jino kwa jino kwa hatua yenu ya kuifanya taasisi hii iwe kama ilivyo leo bila kumsahau x naibu,juhudi zako siwezi kuzipuuza japo unaweza fanya mazuri kwa %99 ila yakaja haribiwa na %1 tu(Godbless you)
Acha M4c pamoja daima endeleee