Picha: Mkutano ACT Singida

Haya bwana!! Tumeona ila unganeni na vyama vingine vya upinzani kama vikihiarika ili muufikie kwa urahisi ukombozi wa mtanzania wa sasa.Kura yangu ni ya upinzani ila mkiendelea kukagawanyika namna hii mtawakosesha raha wapenda mabadiliko ya kweli.
 
Hapo ni nyumbani kwa Mwenyekiti na mshauri mkuu wa CHAMA kweli wameitikia.
 
Wamevuna wanachama elfu ngapi huko singida jamani mbona sijawahi kusikia walichovuna zaidi ya watu tu.maana hata mm wakifanya mkutano nilipo nitaenda kusikiliza Sio wao tu chama chochote ila siwezi kuwapa kura yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…