BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Umeelezea vizuri Best na Wataalam kunywa maji ya moto asubuhi baada ya kuamka kabla ya kutia chochote kinywani husaidia sana katika kusafisha figo na wengine siku hizi hawanywi kabisa maji ya baridi bali ni ya moto tu. Nina rafiki yangu aliwahi kuniambia Wachina wengi maji yao ya kunywa ni ya moto tu kwani wanaamini it is healthy to drink hot water as compared to cold water.
Thanks for sharing Best.
Thanks for sharing Best.
Mkojo unakuwa uchafu buliozalishwa mwilini baada ya metabolism process, uchafu huu unajumuisha chloride, sodium, potassium, creatine na ions nyingine Pia organic na inorganic matters. Hivi vyote vinahitaji maji ili viweze kuchujwa kwenye figo kutoka kwenye damu ili vitoke kama mkojo.
Usipokunywa maji ya kutosha uchafu huu hufanya vijiwe kama chumvi ya mawe kwenye figo na huleta maumivu makali sana.
kisu cha ngariba