kwako mawazo Mungu akulinde na kuzidi kukutia nguvu kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuleta ukombozi wa mara ya mbili kwa nchi yetu iliyopotea vizazi vitakukumbuka kuwa ni kati ya watu waliosimama na kulitetea dhidi ya mikono ya mafisadi na manyangau walioitia nchi umaskini wa kutisha. Asante sana kaka