IRINGA MOJA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 503
- 229
Huyu mr chin,si ni yule babu asie kuwa na breki mdomoni,anasifika kuporomosha matusi mbele ya watoto banaa! Huyu chin Nina mashaka nae,tusi,matusi,watu wazimaa hawa.
No sio babu bali kijana tena mbichi kabisa. Aliwahi kuuza jimbo somewhere 2010 akiwa chadema sahv nasikia yeye pamoja na dada yetu mpz wa madevu ni wafuta viatu pale Lumumba fc