.. ngoja akina Mr. Chin wakiamka kesho utukanwe kisawasawa
Mgombea Wa Majirani ZETU, Kumbe MSELA Bhana!! Ndio Maana Mrs Haonekani!! ALIONEKANA Mara 2 Tu, Siku Ya KUZINDUA Kampeni Dar Na Kuthibitika Ni MCHONGO Tu, Coz Hata Ktk. Utambulisho Wake Alimsahau!! Hadi Akaambiwa Hoya Mbona Haumtambulishi Mwenza!!?? Na Pili KIJIJNI KWAKE!! Tena Kwa Kuombwa Na Mama Mwenye HESHIMA Kubwa Nchini!! BAADA Ya Hapo, MAMA Aendelea Na Maisha Yake Ya Zamani!! Tehe! Tehe! Tehe!! Vijana Hongereni Kwa Kulishistukia Hilo!!
.. ngoja akina Mr. Chin wakiamka kesho utukanwe kisawasawa
unadhan kuhamisha kokoto mchezo?
Mgombea Wa Majirani ZETU, Kumbe MSELA Bhana!! Ndio Maana Mrs Haonekani!! ALIONEKANA Mara 2 Tu, Siku Ya KUZINDUA Kampeni Dar Na Kuthibitika Ni MCHONGO Tu, Coz Hata Ktk. Utambulisho Wake Alimsahau!! Hadi Akaambiwa Hoya Mbona Haumtambulishi Mwenza!!?? Na Pili KIJIJNI KWAKE!! Tena Kwa Kuombwa Na Mama Mwenye HESHIMA Kubwa Nchini!! BAADA Ya Hapo, MAMA Aendelea Na Mauisha Yake Ya Zamani!! Tehe! Tehe! Tehe!! Vijana Hongereni Kwa Kulishistukia Hilo!!
Mama Regina Lowassa leo amefanya mkutano wa ndani na akina mama wa Mkoa wa Ruvuma mjini Songea na kuendelea kutoa Elimu ya mpiga kura, Kuwaomba kina mama kuwa makini na maamuzi sahihi ya maamuzi yao maana kura zao tarehe 25 ndio itakuwa imechagua aina ya maisha watayoishi kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Kutokana na wingi wa kina Baba waliyojitokeza pamoja na mapokezi yaliyojumuisha wake kwa waume ilipelekea kuandaa mkutano mwingine mkubwa wa nje.
Jane Magufuli yupo wapi?