Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Mama Regina Lowassa leo amefanya mkutano wa ndani na akina mama wa Mkoa wa Ruvuma mjini Songea na kuendelea kutoa Elimu ya mpiga kura, Kuwaomba kina mama kuwa makini na maamuzi sahihi ya maamuzi yao maana kura zao tarehe 25 ndio itakuwa imechagua aina ya maisha watayoishi kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Kutokana na wingi wa kina Baba waliyojitokeza pamoja na mapokezi yaliyojumuisha wake kwa waume ilipelekea kuandaa mkutano mwingine mkubwa wa nje.
Kutokana na wingi wa kina Baba waliyojitokeza pamoja na mapokezi yaliyojumuisha wake kwa waume ilipelekea kuandaa mkutano mwingine mkubwa wa nje.