Picha: Mama pinda ala nondozzzz

Picha: Mama pinda ala nondozzzz

Hajaingia kwa merit na bado atakuwa kihiyo hadi asome. Chini ya usultani wa mumewe ulitegemea nini Remote mwanangu?
 
Mwanangu Ciello watambeba kama walivyofanya kwenye ujumbe wa NEC. Si unajua tena dili za kitanzania. Kama prof atambeba akateuliwa kwenye bodi na kupata chake unadhani atashindwa kupeta? Kama wengi wa maprof ingawa si wote wanatuhumiwa kupewa hongo ya ngono watakataa ya huyu tena mzito?
 
Safi sana mama Tunu, mwenzake Salma yuko busy na mipasho ya kisisiemu sisiemu na hata sijui kama hata ile English course aliimaliza!
 
Kamuulize Mhe. Mulugo, maana naye ana BA ya OUT. Kwa wasiojua, OUT unaweza kusoma degree hata miaka 10. Kila term unaweza kufanya mtihani mmoja. Ukijiona uko fiti, unafanya zaidi, pepa ambayo unaona hapana unajipanga kwanza na kufanya baadae. Kuna jamaa mmoja alisoma degree ya sheria kwa miaka saba, 7. Kwa ufupi, OUT hakuna kushindwa.

By the way, mara nyingi assessment za OUT ni Course Work kupitia assignment ambazo unafanya nje wa chuo.

kumbe ngoja nikajoin nipige masters ya sheria kwa 10 years! Intresting
 
Namshauri amshauri kihiyo Salma Kikwete naye aingie darasani badala ya kupoteza muda na pesa yetu kwenye kuzurura.

We unataka aombe kwa baba mwanaasha nondo/honda/vibuti/nyenzo zihalalishwe kwenye mitihani
 
jamani Mhe Pinda mbona kanuna? au ndio tabasamu? nimependa tabasamu la Tunu ktk picha ya pili aliyopiga na huyo dada
 
Back
Top Bottom