Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mke wa mgombea urais kupitia Umoja wa Ukawa, Mama Regina Lowassa leo amefanya mkutano mkubwa mjini iringa..

Mama Regina alisema ''Naomba nichukue nafasi hii kumuombea kura mgombea urais Mh. Edward Ngoyai Lowassa ambae ni Mume wangu, namuombea kura zote za ndio bila kuwasahau Madiwani na Mbunge''

Mama Regina amewakumbusha wananchi kuwai mapema kwenye vituo vya kupigia kura, kuzingatia sheria za uchaguzi na namna ya kukunja karatasi baada ya kupiga kura na wasisahau kwenda na kalamu zao.
 

Attachments

  • 1444753955193.jpg
    75.2 KB · Views: 7,841
  • 1444753975611.jpg
    69.7 KB · Views: 6,375
  • 1444753994339.jpg
    76.5 KB · Views: 6,660
  • 1444754011459.jpg
    78.9 KB · Views: 6,080
  • 1444754032949.jpg
    85.1 KB · Views: 6,176
  • 1444754069940.jpg
    64.7 KB · Views: 6,098
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura

Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu
 

Kamanda ocampo shukrani za dhati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…