Picha Magufuli na mkewe

Picha Magufuli na mkewe

Sura zao hazina hata nuru kama EL
 

Attachments

  • 1442753851064.jpg
    1442753851064.jpg
    63.1 KB · Views: 2,812
Mama kamkimbia mzee baada ya kuonekana kwa babu wa samunge.



swissme
 
Sijawahi ona picha ya mama Magufuli anatabasam akiwa na mumewe...jamaa litakuwa linarndekeza mfumo dume!
 
Hivi magufuri ataishije mara baada ya uchaguzi manake hata ubunge hana tena mke na watoto wataishije?
 
Sijawahi ona picha ya mama Magufuli anatabasam akiwa na mumewe...jamaa litakuwa linarndekeza mfumo dume!

+ chepukozzzz.Mama lazima akose furaha.
 
Namwomba EL.amwoonee huruma hata viti maalum itamtosha
 
Namwomba EL.amwoonee huruma hata viti maalum itamtosha
wanabadilika wakiingia mjengoni , unadhani mbatia asingekuwepo mjengoni UKAWA ingekuwepo ? , i believe kuna watu wanajutia hisani zao sasa.
 
Hiyo picha ya 1980. Kwa sasa magufuli ni bachela sugu

Hahahaaa mkuu hili suala litakuwa na ukweli ndani yake.
Haiwezekani wanandoa tena kwenye ngazi ya kugombea urais kuleta sintofahamu hii.
 
itabidi tuancike uzi unao uliza hivi magufuri ana mke kweli
 
aliambiwa nn na TB JOSHUO kuhusu kugombea uraisi ....haahahhahaahahhaahah
 
Back
Top Bottom