Picha Magufuli na mkewe

Picha Magufuli na mkewe

Wamenuna haoo familia ya kidikteta, mchaka mchaka alimserema
 
Tusiiumize familia ya magufuri. Tushughulike na mnyonyaji wetu ccm na wabeba bendera wake.Anayebeba bendera ya ccm ni kirusi kienezacho ujinga ,maradhi,na umaskini.
 
Magufuli ni kiongozi bure kabisa,jamii imeshinikiza aambatane na mkewe kwenye kampeni na yeye ametii ingawa mwanzoni alidai sio lazima kuhusisha familia ktk uongozi,inaonyesha akiingia ikulu atapelekeshwa sana na mashinikizo kutoka ccm na makundi mbalimbali katika jamii na atatii.
Kwa kifupi ni mtu wa misifa bure kabisa.
 
Hahahaaa mkuu hili suala litakuwa na ukweli ndani yake.
Haiwezekani wanandoa tena kwenye ngazi ya kugombea urais kuleta sintofahamu hii.

Yes. Very likely
 
+ chepukozzzz.Mama lazima akose furaha.
Rumafrica-Online-Magzine-Front-TB-Joshua-Magufuli.jpg
 
Magufuli ni kiongozi bure kabisa,jamii imeshinikiza aambatane na mkewe kwenye kampeni na yeye ametii ingawa mwanzoni alidai sio lazima kuhusisha familia ktk uongozi,inaonyesha akiingia ikulu atapelekeshwa sana na mashinikizo kutoka ccm na makundi mbalimbali katika jamii na atatii.
Kwa kifupi ni mtu wa misifa bure kabisa.



Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano,kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa wa Oktoba 25 mwaka huu.
Mara bada ya kuhutubia chumba chetu cha habari kilihemewa na simu za wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuelezea furaha yao sio tu kwa kumuona jukwaani bali pia kwa kuongea kwa kujiamini. Mama Magufuli amekuwa haonekani sana kwa sababu ya kuuguza mgonjwa nyumbani kwao Chato. Wamesema wametiwa moyo sana na haiba ya Mama Magufuli na wameshangazwa kwa uwezo wake mkubwa wa kuongea mbele za watu bila woga na bila kumung'unya maneno.
[TABLE="class: tr-caption-container"]
<tbody>[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano,kweney uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuwafanyika Oktoba 25 mwaka huu.[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
<tbody>[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"] Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akipeana mkono na Mgombea Ubunge wa jimbo la Chato,Dkt Meedad Kalemani mara baada ya kuwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua Dkt Magufuli kuwa Rais wa awamu ya tano [/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]

Wananchi wa Chato wakimshangilia Mama Magufuli kwa shangwe kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari Chato mkoani Geita.
 
Hivi kale kasmall house hakapokwenye kumbu kumbu sahihihumu? Tyta yuko wapi
 
Last edited by a moderator:
Mfumo dume unauendeleza wewe uliyejiremba kichizi. Unajiremba namna hiyo,we umesoma vinaya kweli?
 
Back
Top Bottom