Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Mnaf. ..k tu huyo mgombea wa magamba
 
Kama kiongozi alipaswa kuja na njia ya kuwasaidia hawa wakinamama wapike mahala ambapo hakuna moshi. Baadae wanaonekana wachawi kwa macho mekundu alafu wanauliwa.

Cha ajabu anafurahi maana yake amelizika na hicho wanachofanya.
HAYA NI MADHARA YA KUZUNGUKWA NA WASANII(BONGO MUVI, KIKOSI CHA MATUSI, COMEDY NA BONGO FLEVA)KWA MUDA WOTE WA KAMPENI.
 
Kama kiongozi alipaswa kuja na njia ya kuwasaidia hawa wakinamama wapike mahala ambapo hakuna moshi. Baadae wanaonekana wachawi kwa macho mekundu alafu wanauliwa.

Cha ajabu anafurahi maana yake amelizika na hicho wanachofanya.

Siyo kuridhika tu. Wenzako hawaoni hayo wanaona Rais tu.
 
huezi kuwasidia wakati hujajua ni kwa namna gani wanateseka kama ni mateso,ndiyo maana anaungana nao then anawaandalia mazingira mazuri ya kupikia,fikiri kabla hujaandika na ndiyo maana ya kuwa field ayaone matatizo ya watu na awaombe wamchague ili ayatatue:A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade:
 
Tulia dawa ikuingie

go Mr. Presdent go. Kwani shida ni nini kama na lowa anaweza si nayeye apike

Tunataka Rais Wa Kutatua Matatizo Ya Wananchi Hatutaki Rais Wa Kushinda Jikoni Kukaangiza Vinono Utadhani Bachelb.Na Hy Ni Kigezo Tosha Cha Kumnyima Kura.
 
Kama kiongozi alipaswa kuja na njia ya kuwasaidia hawa wakinamama wapike mahala ambapo hakuna moshi. Baadae wanaonekana wachawi kwa macho mekundu alafu wanauliwa.

Cha ajabu anafurahi maana yake amelizika na hicho wanachofanya.
HAYA NI MADHARA YA KUZUNGUKWA NA WASANII(BONGO MUVI, KIKOSI CHA MATUSI, COMEDY NA BONGO FLEVA)KWA MUDA WOTE WA KAMPENI.
"A vote is like a rifle: its usefulness depends upon the character of the user ,vote for magufuli for better development sustanability and well being of Tanzania people
 
Na lowassa ajaribu kama hata,,,,,,,,,,,,,,,,,
hata kuushika tu hawezi bora magufuli anayeyajua matatzo ya watu
 
“A vote is like a rifle: its usefulness depends upon the character of the user ,vote for magufuli for better development sustanability and well being of Tanzania people

We need change you MOFO..
CCM is still the same!
 
Back
Top Bottom