jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 339
Wanabodi, kauli ya Mh Rais juu ya kuwapa machinga uhuru na taratibu mzuri wa kufanya biashara zao,sasa wamekuwa na amani kujinafasi maeneo tengefu,hasa nyakati za jioni.
Hapa ni karibu na sheli ya GAPCO jijini Dsm ambapo machinga wamepanga bidhaa zao na wanaendelea kupiga mzigo.
Hapa ni karibu na sheli ya GAPCO jijini Dsm ambapo machinga wamepanga bidhaa zao na wanaendelea kupiga mzigo.