Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 346
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Dr.WHO,kama umesomea udaktari kweli najua ulipiti somo la 'CRITICAL THINKING' UMESOMA RESEARCH,nafikiri ulitafuta kazi ya kukupa ugali tu na si kuelimika na kufikiri vitu kwa mbali sana,mtoto aliyekojolea hicho kitabu mnayajua maisha yake anaweza akaitwa Yohana kwa kuzaliwa,lakini matendo yake yakawa yanafanana na mtu wa maisha magumu,je umewahi kukutana na watoto wanaoishi huko mbagala,magomeni,tandale,na kunakofanana na huko kamwe hawafanani na wa masaki,mbezi beach,nk,watoto wa kikristo hufundishwa upendo daima kwa jirani,na jirani ktk biblia ni yeyote haijalishi rangi wala dini wala kabila,mara ngapi katika mihadhara ya kiislamu utasikia wanauchambua ukristo wanavyotaka hakuna anayeandamana wala kuharibu msikiti,hupita na kwa utaratibu wa ibada za Kikristo unatakiwa uwasamehe na kisha kuomba maombi yako upate baraka.Kama wakristo wakijibu mapigo kwa kuchoma misikiti,Amani ya nchi itatoweka hata wewe utakiona cha mtema kuni hautasalimika kama si nafsi yako basi ya ndugu zako,think Critically!!!!!
Ila madhara yapo ktk himaya ya maaskofu? next time kipindupindu kikiwatembelea unaweza endelea na laifu tuu tatizo litakuwa siasa za nchi.
Unataka waumini waingie mtaani kila mmoja aseme kama walivyofanya Ponda na wafuasi wake au?. Kwani makanisa ni ya serikali hayo?. elewa tu wakristo wana wasemaji wao na ndio tunaowasikiliza wakati wa shari au amani. Ukristo ni utaratibu na amani. Wao kusema ni muhimu hata kama serikali itaongea.
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Naamini kabisa hujui historia ya tanzania, kwa nini usisikilize hutuba za Mchungaji Nyerere? anaeleza ni wakina nani freedom fighter hapa na waliochangia gharama ya uhuru wa TZ. tumeaachia nchi mnaifisadi kila kona bila huruma
Vijana wa KIislam kuanzia Madrasa mpaka majumbani mwao wanafundishwa kuheshimu Jesus/Issa, nitajie ni Muislam gani Tanzania amekojolea au Kuchoma Bibilia?? acha kuropokaropoka
Mbona Rais hajatoa tamko?
Napenda matamko ya wasomi !
Chadema mbona hawatoi tamko ?? Kushindwa kutoa tamko ni kuonyesha udhaifu na kuonyesha nchi hii hawatoweza kuiongoza..
Chadema mbona hawatoi tamko ?? Kushindwa kutoa tamko ni kuonyesha udhaifu na kuonyesha nchi hii hawatoweza kuiongoza..
Yeah, Madhara ndio kama Wananchi woote wanavyoyapata; ILA Suala la Utatuzi na Kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari kwenye hili suala NI SERIKALI TAWALA PEKEE; Haina DINI... NI lazima IJUE Undani wake na Sababu ya PANDE HIZO MBILI... Kuwa na Utofauti; na Kiini cha Chanzo cha hilo Tatizo...
umetumwa na nani?
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Nakubaliana na wewe kuwa watoto (wote) wafundishwe nidhamu. Na pia ni muhimu sana watoto wakafundishwa ukweli, na sio mambo ya kuwapumbaza. Kama ilivyo kwa wakristo na hata medhebu mengine, pengine ni vema waislam nao wakaangalia aina ya mafundisho wanayopata watoto wao. Ni nani aliyemwambia yule mtoto wa kiislam kuwa ukikojolea kuran utageuka mjusi? Ni mafundisho ya uwongo and it took a 14 years boy to prove ni uwongo! Na huyo mtoto amefundishwa mangapi ya uwongo?