Akitamka jambo wazanzibar wanamtii , alisema wasusie uchaguzi wa marudio , matokeo yake wakajitokeza watu elfu 50 tu kupiga kura ! halafu tukadanganywa bila huruma kwamba Dr Shein kapata kura 299 ,000 !Rais halali wa mioyo ya wazanzibari
#kazinabata
True !Maalim ni chaguo la wanzanibari,sheniiii ni chaguo la mashetani.
Mzee Yusuph aongozane na Maalim Seif ili apewe kesi ya uhaini au utakatishaji fedha ?Shein akiiona hiyo picha anazidi kuchoka mzee wa watu kakalia kiti sio chake kabisa jecha sio mtu mzuri kwa kweli.
Sory hiyo picha ya katikati huyo alievaa kanzu ni mzee yusuph?
Kwani aliekuwepo si HALALI?Rais halali wa mioyo ya wazanzibari
mwaga tu mjombaKuwa tu mkweli, hizo picha hapo juu ni Senegal? Utasema ukweli au watu wamwage mchele hapa?