CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 488
- 2,468
Wananchi wa Kata ya Kibindu, Chalinze, Pwani wakipiga pipooooooz power ya nguvu mkutano uliohutubiwa na Mwenyekiti wa Taifa Mbowe, Makamu wake Said Issa Mohamed, Peter Msigwa na Halima Mdee leo.
Hapa Mwenyekiti Mbowe akisalimina na mke wa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Pela, Khadija Ali, katika Kata ya Kibindu jimbo la Chalinze mkoani Pwani, ambako alitembelea kujionea hali makazi ya mwalimu huyo, leo.
Hapa Mwenyekiti Mbowe akisalimina na mke wa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Pela, Khadija Ali, katika Kata ya Kibindu jimbo la Chalinze mkoani Pwani, ambako alitembelea kujionea hali makazi ya mwalimu huyo, leo.