Picha: Lowassa Visitation kilio cha baba yake ROSTAM AZIZ

Picha: Lowassa Visitation kilio cha baba yake ROSTAM AZIZ

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
10434216_516775898422736_5744061396114556812_n.jpg




10363597_516776041756055_7178719429929670997_n.jpg



10301542_516776051756054_1165947738229505335_n.jpg



10339740_516776125089380_2608204776112553272_n.jpg



10390945_516776181756041_871134875012110907_n.jpg





10300642_516776188422707_5202956071288157132_n.jpg
 
Allah amuhifadhi mahali salama, mzee wa FastJet kama kawaida yake anamalizia kutembea Dunia angekuwepo hapo kisutu
 
Misiba bhana, ina mambo mengi, huwafanya "marafiki wa sirini" kulazimika kuwa "marafiki wa hadharani"!!!! Ninatafakari tu!!!
 
Misiba bhana, ina mambo mengi, huwafanya "marafiki wa sirini" kulazimika kuwa "marafiki wa hadharani"!!!! Ninatafakari tu!!!
tafsiri zingine sio nzuri. tafadhali suala la msiba acha libaki la msiba tu na sio kuingiza mambo mengine ya kufikirika. wewe unafikiria siasa tu.
Rostam ameshawahi kuwa kiongozi mwandamizi ccm tena akiwa mweka hazina kuanzia mkapa mpaka kikwete. be careful
 
tafsiri zingine sio nzuri. tafadhali suala la msiba acha libaki la msiba tu na sio kuingiza mambo mengine ya kufikirika. wewe unafikiria siasa tu.
Rostam ameshawahi kuwa kiongozi mwandamizi ccm tena akiwa mweka hazina kuanzia mkapa mpaka kikwete. be careful

Labda ungesema tafsiri sio sahihi kwa kuonesha makosa yake! !!!!!!
Mkuu hizo picha unaachaje kuzihusianisha na siasa????!!!
 
Lowasa akishinda Urais Kigwangala ahame nchi, maana adui yake Bashe yuko bega kwa bega na Lowasa.!
 
Labda ungesema tafsiri sio sahihi kwa kuonesha makosa yake! !!!!!!
Mkuu hizo picha unaachaje kuzihusianisha na siasa????!!!
kwenye huo msiba Hata Prof. Lipumba, Mbowe na Dr. Slaa wanaweza kwenda tu. sasa sijui na hapo utasemaje.
 
Back
Top Bottom