MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Kwenye siasa hatuangalii kufunika tunnangalia kura
Hata kama ni za wizi kama ccm wanavyofanyaga
Kwenye siasa hatuangalii kufunika tunnangalia kura
Na akiweka ujumbe mnataka picha? Watu vigeu vigeu sana nyie.
Mzee Wasira Njoo ujionee chama cha msimu!!!hakuna kulala mpaka mkoloni mamboleo ccm aondoke
alisema eti tususie rasimu ya katiba. Hivi huyu mzima kweli?
Picha tu inatosha , maana ina sauti nyororo kuliko porojo .
Wajamani CHADEMA mna mpango gani na mimi au mnataka nisuse JF? Mama ngina lete dawa zangu za presha na za kisukari, hawa CDM wameshaanza walah nitazila JF kama hawatapunguza dozi
amezungumza mambo mengi lakini kubwa ni namna mabilioni yanaletwa kutoka s/kuu lakini bado wananchi wanachangishwa michango sio ya kisheria, kama mchango wa mlinzi shuleni.Alisema nini?