Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Aliishia kucheka "ujana ujana,sio unaelewa"
Sema kusema ukweli nilishindwa kujizuia(ilibidi nimzingue nilipoona ni mtu wa story),na nahisi alijua kuwa namjua.
kwasababu kuna watu kusema ukweli hautegemei kukutana nao kabisa.
Hamna sikujadili naye sana kuhusu ile kitu nilimwambia nakujua mkuu(hahahabasi ana moyo mgumu sana, hivi ile mambo ilikuaje ikavuja ? ni yeye alivujisha au
ila msela kaacha legacy nchi hii, ile video yake ipo duniani kote aise mpaka wakenya wanadai ni yao😂Hamna sikujadili naye sana kuhusu ile kitu nilimwambia nakujua mkuu(
Akaleta zile kwamba " wewe ni kijana sishangai..ni ujana tu...."
sikutaka kumkizia kwasababu tulikutana kwasababu ya ishu ya biashara ya simu.
Nilimwambia sikutegemea kama nitakuja kukutana naye,akawa anacheka tu.Nakumbuka ilikuwa 2013.
Ni ni ndefu sana sijui aliwaza nini ni mara chache sana unakuta video ya vile yenye dakika zaidi ya 5 kwa bongoila msela kaacha legacy nchi hii, ile video yake ipo duniani kote aise mpaka wakenya wanadai ni yao😂
kabisa aise, ile akiiuza anakuwa billionaire kabisaNi ni ndefu sana sijui aliwaza nini ni mara chache sana unakuta video ya vile yenye dakika zaidi ya 5 kwa bongo
🤣🤣🤣wa Kenya wanataka kutunyang'anya mjuba wetu 😅😅😅ila msela kaacha legacy nchi hii, ile video yake ipo duniani kote aise mpaka wakenya wanadai ni yao😂
Kama aliunganisha siku tofauti tofauti je?Sema jamaa alitisha sana, dakika 71!
😁😁wameona mjuba atawapa sifa wakisema ni wao, ila wabongo walipinga vikali mnoo🤣🤣🤣wa Kenya wanataka kutunyang'anya mjuba wetu 😅😅😅
bibie hupaswi kuwa na wasiwasi na kamanda wetu anapeperusha vyema bendera yetu captain haiitaji kuunganisha clip au BADO ujamchek nikutumie  😁😁😁Khantwe
Sema jamaa alitisha sana, dakika 71!
Hahaa wewe kweli bado dogoNi nani tena huyo
Hahaha jamaa sijui aikunywa vumbi la Congo aiseeSema jamaa alitisha sana, dakika 71!
Hahahaha mwamba alikuwa amevurugwa daahHivi yule mwanamke nae alikuwa mwanachuo ?
Yupo wapi siku hizi ?
Ila mwamba aliigiza video ndefu kuliko porn zote bongo na kipindi kile smart phone hazijachanganya