SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 27,295
- 2,000
Na CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM kama chama cha siasa ilishakufa.Chadema ni washing machinery ya watenda maovu nchi hii!
Na CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM kama chama cha siasa ilishakufa.Chadema ni washing machinery ya watenda maovu nchi hii!
Huenda ni usefullNa sijajua ni kwanini bado ' System ' kupitia Wakubwa wake kadhaa ( baadhi ) inaendelea tu Kumtumia
Nafikiri humu kuna thread nyingi zinazoisema CCM kuliko wengineoThinkers. Ingesemwa CCM nina uhakika huu uzi ungefutwa
Huenda ni usefull![]()
Sawa ccm ni chama cha upinzani!Na CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM kama chama cha siasa ilishakufa.
John mpambalu,hilda newton!Kwanini unaihusisha Chadema kama taasisi kwa issue inayohusisha kikundi fulani cha watu walioamua kufanya hayo kwa utashi wao?
Japo siku hizi kumezuka kamchezo cha wengi kufuata zaidi watu badala ya taasisi na wakati mwingine wanaenda mbali zaidi mpaka kujigeuza wasemaji wao ndio maana na wewe mleta mada umeingia mkumbo huo.
Cha machokoSawa ccm ni chama cha upinzani!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us