EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Last edited by a moderator:
miss chagga hivi mshana jr hujawahi leta hii kitu hapa???
miss chagga hivi mshana jr hujawahi leta hii kitu hapa???
safi iyo mbege haijawekwa msesewe
Ukoo upi? wa Kinabo ?Ubaguzi huu mbona ukoo wetu ulivyo mkubwa hawajauweka
msesewe ndio nini? au busta nini mkuu?
si unajua kama gomba ilivyo na andasi......sasa nahisi mbege ina msesewe.
Ukoo upi? wa Kinabo ?
ni aina fulaniya mitishamba huwekwa kwenye mbege kuongeza steam
kwahiyo hapo mpaka ana data ki spoti, lakini TBS ina tambua "huo mmea" mnaoweka na kiwango cha "liquor" inayokuwa ndani yake?......
hayo ndo mambo ya old is gold....
mtambue wapi wakati ninyi mp[aka alete msungu ndiyo mnaona kitu
kitu ya musungu tamu....mfano Pinason, Dompo,fat bastard,O.smanor, Barnes Loyal port, etc
Mkuu hivi ni vinywaji.......?........nimegundua Dompo peke yake..........