Mrembo upo?Shoppers/ supermarket
Kilo sh ngapi, bei yake imechangamka zaidi ya korosho?Zipo kama Karanga, ila ni tamu zaidi ya Karanga, sema bei yake nayo imesimama
Waambie wakutembeze ufute ujingašWewe kiazi sana sasa CCM na vyakula wapi na wapi ?
USSR
Dar karibu na msikiti wa mtoro kuna mzee zamani akiuza anaitwa Al Qidemy. Ana ujamaa na Qidemy wa Malindi zanzibar pia. Halua nyekundu ipo Mombasa soko la wasomali wauza papa karibu na mtaa wa Digo road na Langoni road.Kumbe ndio asili yake.
Umenipa elimu nyengine, nilidhani chimbuko lake ni huku zanzibar
Zinapatikana wapi?Robo kilo tsh 7000
Zinapatikana wapi?
š¤£š¤£š¤£š¤£Mamako yupo atanifuta ujinga chumbani
USSR
Around 35000 to 40000Bei zake ndefu ndio, kilo inaweza fika 15k mpaka 25k inategemea na eneo
Mimi huwa ninanunua sokoni kisutu.Zinapatikana wapi?
hahahaha... mbegu zinaliwa kwa kiasi; sio kula kama Chakula; Pole!Niliyala kwa sifa ayo Makaranga ya kihind niliharisha sio poa
Sokoni?Mimi huwa ninanunua sokoni kisutu.
Elfu 45 kiloSokoni?
Mimi najua zinauzwa Supermarket kwa kuwa hazilimwi Tanzania
Vipi bei ya Sokoni ipoje?
Najua Jamiiforums ina watu wengi kutoka mikoa mbalimbali na taasisi zake ,nimeletewa hii zawadi kutoka kwa rafiki yangu akisema ni zawadi kwa watoto wangu.
Nimezionja naona zipo kama karanga vile sijui ninini yeye amenitajia jina la kilugha chao ila kibongo sijui jina na ni aina gani ya mmea .
Shukran
USSR View attachment 2529865