Picha: Kuna mwana Jamiiforums anayefahamu hizi ni nini?

Kumbe ndio asili yake.
Umenipa elimu nyengine, nilidhani chimbuko lake ni huku zanzibar
Dar karibu na msikiti wa mtoro kuna mzee zamani akiuza anaitwa Al Qidemy. Ana ujamaa na Qidemy wa Malindi zanzibar pia. Halua nyekundu ipo Mombasa soko la wasomali wauza papa karibu na mtaa wa Digo road na Langoni road.
 

Ni expensive kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreā€¦