Picha: Kuna mwana Jamiiforums anayefahamu hizi ni nini?

Almond kimbia sana na hizo kitu, hazina ladha wala harufu wala taste.
Allergy zote zipo umo
Kwenye ladha umetudangnya tamu sana sema ndio me sikujua first time niliyapiga mengi nikaharisha from there nikawa nayapiga kizungu kama karanga za miambili.
 
Almond kimbia sana na hizo kitu, hazina ladha wala harufu wala taste.
Allergy zote zipo umo
Kwa upekuzi wangu nilinunua viwili mia2 ili nivijue ni vinini na vina ladha gani! Unatakiwa kuzila kama kurefresh tu ila ndio umechukua uzile kwa ku enjoy kama karanga au korosho utakua umeyakanyaga! Hiyo yake kahawa, kasusu au chai kama push factor
 
Juzi nilikula hizi
Hizi ni lozi waweza kula hivi au ukachanganya na uji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…