Young Warlock
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 328
- 112
Duh.. napafahamu hapo aisee
Hivi ni Kaloleni or Kiloleni??
Duh.. napafahamu hapo aisee
Acha kututisha tunapiga picha popote..ila ndugu zangu nlisahau kambi za jeshi hapana msijaribu
Hivi ni Kaloleni or Kiloleni??
Ni Kiloleni... wengi huchanganya sana na Kaloleni
Hivi kambi ya jeshi ni noma eeeeh..........?..........
Magereza vipi unatwanga tu.mie nishakumbwaga na sokombingo la kurestisha mtu in peace na kisimu changu baada ya kupiga picha benki kwa nje askari waliokuwa kwenye kibanda wanakunywa chai vikombe bakuli vijiko meza stuli viti zilikuwa zinagongana kwa kukimbia kuniwahi nisilaze nilitiwa nguvuni na hayo majibaba bahati nzuri nilipenyeza rupia nikapona.
Hivi kambi ya jeshi ni noma eeeeh..........?..........
Inategemea..unoma unatofautiana
Janga la kitaifa utapiga pushup hadi utakuwa baunsa bila kupenda
Mmmmh! wapo jirani utagombewa kama mpira wa kona halafu utaenda kufichwa kwenye yale maukuta pale ngomeVipi kuhusu wizara ya ulinzi...........?........napo siwezi piga picha........?......
Mmmmh! wapo jirani utagombewa kama mpira wa kona halafu utaenda kufichwa kwenye yale maukuta pale ngome
ukitoka uko mikono itakuwa minene ghafla.
Bila shaka kwa bibi wenzetu ulinzi ni sayansi na teknolojia(digital)budget zinaruhusu huku bado sana budget zetu finyu. Ni unaa tu kwa kwenda mbeleBasi sisi bado sana........labda hatujiamini........
Hii picha niliipiga mwenyewe na ukiangalia chini kabisa utaona nywele zangu........yaani hapa kama ni kuchezea sharubu za simba.......basi nilizisuka kabisa na hakuna aliyeniuliza.......isitoshe kulikua hakuna mlinzi nje hata mmoja..........
Ni kawaida kukuta pamefungwa au ilikuwa bahati mbaya kwangu?