PICHA: Kumbe kituo cha polisi hufungwa?

PICHA: Kumbe kituo cha polisi hufungwa?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,202
Reaction score
25,378
Nilipatwa na majanga ambayo yalipelekea kuelekezwa, nikatafuta njia hatimaye nikafika kilipo Kituo cha Polisi Kiloleni pale Tabora na kukuta hali hii:

Nini maoni yako?

1437399152508.jpg 1437399178907.jpg
 
Sio ajabu. Ni bora uulize upate ufafanuzi sio kushangaa. Vituo vidogo visivyo na silaha ni sheria ikiwezekana vifungwe jioni saa kumi na mbili. Ni kawaida tu.
 
Hahahaha,aisee,watu wa Kaloleni watakuja
Ila kituo kinaweza kufungwa kama kuna Kituo Kingine chenye Ubora kimefunguliwa karibu yake.
Kuna umbali maalum wa Kituo na Kituo
 
Usikute hapo ndani kuna marungu na sime... Wasije vunja wakaiba zile za moto
 
Wadau hata siku ya pili mapema sikukuta kipo wazi, ila nilikuta (methali isemayo; "ASKARI KASIMAMA MLANGONI..."
 
muwe mnaangalia na sehemu za kupiga picha. ni kosa kubwa sana kupiga picha sehemu nyeti kama kituo cha polisi msije mkajiweka matatani bure
 
Umetoa maelezo bila ya kutuambia ni muda gani ulipita hapo. Taja muda; asubuhi, mchana au joini?
 
Si hicho tu hata kituo cha polisi kimara leo kimefungwa..na hakuna maelezo..sijui wote wameenda yafuta majambazi wa stakishari au? Mwenye ufahamu atujuze..
 
Kawaida vituo vidogo vinafugwa saa kumi na mbili. Siku nyingine ukiona hiyo hali usishangae
 
Acha kututisha tunapiga picha popote..ila ndugu zangu nlisahau kambi za jeshi hapana msijaribu

Magereza vipi unatwanga tu.mie nishakumbwaga na sokombingo la kurestisha mtu in peace na kisimu changu baada ya kupiga picha benki kwa nje askari waliokuwa kwenye kibanda wanakunywa chai vikombe bakuli vijiko meza stuli viti zilikuwa zinagongana kwa kukimbia kuniwahi nisilaze nilitiwa nguvuni na hayo majibaba bahati nzuri nilipenyeza rupia nikapona.
 
Back
Top Bottom